Mbeya City yamtupia virago Amry Said

Kocha Amry Said aliyefutwa kazi ya kikonoa kikosi cha Mbeya City.

Klabu ya Mbeya City imetangaza kusitisha rasmi mkataba wa kazi na mwalimu Amry Said Juma kama kocha mkuu wa timu hiyo yenye maskani yake jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS