Wafanyabiashara Ubungo watolewa hofu kuhamia Mbezi

Meneja kituo kikuu cha mabasi Ubungo Maira Mkama

Meneja Kituo kikuu cha Mabasi Ubungo, Maira Mkama, amewatoa hofu wafanyabiashara wa kituo hicho katika suala la kuhamia katika stendi mpya ya mbezi na kusema taratibu zikikamilika basi watakuwa kipaumbele kupata nafasi ya biashara kwenye kituo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS