Wafanyabiashara Ubungo watolewa hofu kuhamia Mbezi
Meneja Kituo kikuu cha Mabasi Ubungo, Maira Mkama, amewatoa hofu wafanyabiashara wa kituo hicho katika suala la kuhamia katika stendi mpya ya mbezi na kusema taratibu zikikamilika basi watakuwa kipaumbele kupata nafasi ya biashara kwenye kituo hicho.