Soko la Tabata lakabiliwa na ubovu wa miundombinu

picha ya soko la Tabata Muslim

Wafanyabiashara wa soko la Tabata Muslim wameiomba serikali kuwaboreshea miundombinu ya soko hilo ili waweze kufanya biashara vizuri hasa wakati wa mvua kutokana kuvuja kwa baadhi ya mabanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS