Madhara ya Ugonjwa wa TB ya Korodani

Daktari Jimmy Minja upande wa kulia wakati akifanyiwa mahojiano kwenye show ya DADAZ

Daktari Jimmy Minja amefunguka kusema hata Korodani zina uwezo wa kupata ugonjwa wa kuambukiza kama TB ambayo inaweza ukasabababisha ugumba kwa wanaume na kwenye upande wa uzalishaji wa mbegu za kizazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS