Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solksjear (Kushoto) akiwa na Bruno Fernandes alipokua akisaini mkataba wa kujiunga na mashetani wekundu.
Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer anaamini watu wa nje wanajaribu kuunda mgawanyiko klabuni kufuatia ripoti kwamba kiungo wa kati Bruno Fernandes alikuwa amepoteza imani na meneja wake.