Shamsa Ford aacha wosia mzito
Msanii wa filamu Shamsa Ford amechia ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kwa kuwataka mashabiki wasipende kuwahukumu watu maarufu kwa makosa yao kwani nao ni binaadam wanapitiwa kama inavyotokea kwa watu wengine.