Zitto atangaza kumpigia kura ya Urais Tundu Lissu

Kushoto ni Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu.

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mgombea ubunge wa jimbo la Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, amesema kuwa siku ya kupiga kura, atampigia kura mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu, kwa kuwa anamuamini sana na anayo dhamira ya dhati kwa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS