Mafuriko yaua watu 12 Dar es Salaam

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema kwamba limepokea taarifa ya kutokea vifo vya watu 12 hadi sasa vilivyotokana na athari ya mvua zinazoendelea kunyesha Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS