Yusuph Mhilu nyota wa Kagera Sugar asiyeimbwa

Mshambuliaji machachari wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu ambaye amekua katika kiwango bora kwa msimu wa pili mfululizo katika VPL.

Mshambuliaji wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu aliendeleza kasi ya kucheka na nyavu msimu huu ambapo jana alifunga bao lake la tatu katika mechi tatu alizocheza licha ya timu yake kupoteza mbele ya Namungo kwa bao 2-1 katika mchezo wa raundi ya tatu ligi kuu ya Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS