"Kawe inahitaji mtu jasiri" - Dkt. Magufuli

Mgombea urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli.

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha  Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli amesema jimbo la kawe linahitaji mtu jasiri, mchapakazi, mwenye hofu ya mungu na mwenye kujali maslahi ya Watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS