Magufuli ampigia simu Dkt Mwinyi

Kushoto ni mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli na kulia ni mgombea urais wa Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Magufuli, amewaomba wananchi wa Pemba kumchagua yeye na Dkt. Hussein Mwinyi, ili kwa pamoja wazitatue changamoto za maji, ajira na barabara zinazokikabili kisiwa hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS