TMA yataja chanzo cha mvua Pwani ya Kaskazini

Pichani mafuriko yaliyosababishwa na mvua jijini Dar es salaam

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imetoa ufafanuzi juu ya uwepo wa vipindi vya mvua ambapo imesema zinatokana na mgandamizo mdogo wa hewa katika eneo la bahari ya hindi  .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS