Ahukumiwa miaka 6 kwa kutembea na wanawake 19

Picha ya Danny C Perry II

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Danny C Perry II (41) kutoka nchini Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kwa kosa la kutembea na wanawake 19 bila ya kutumia kinga na kutowaambia wanawake hao kama ana virusi vya ugonjwa wa Ukimwi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS