"Tunataka mabilionea wa ndani" Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka Watanzania kuacha kutegemea wafadhili badala yake wajikite katika uchumi wa biashara na uwekezaji. Read more about "Tunataka mabilionea wa ndani" Rais Magufuli