Mgombea Ubunge CCM aahidi utoaji mikopo kwa vijana

Kushoto ni mgombea ubunge wa Jimbo la Ulanga Salim Hasham Alaudin

Mgombea ubunge wa Jimbo la Ulanga Salim Hasham Alaudin amesema ili kumkomboa kijana katika ombwe la umaskini ni kumuwezesha kupata nyenzo Bora ambazo atazifanyia kazi hasa katika sekta ya viwanda na kilimo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS