Mgombea Ubunge CCM aahidi utoaji mikopo kwa vijana
Mgombea ubunge wa Jimbo la Ulanga Salim Hasham Alaudin amesema ili kumkomboa kijana katika ombwe la umaskini ni kumuwezesha kupata nyenzo Bora ambazo atazifanyia kazi hasa katika sekta ya viwanda na kilimo.