JPM aeleza magumu anayopitia kwa kuitetea nchi

Mgombea urais kupitia CCM Dkt John Magufuli

Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk. John Magufuli, amewakumbusha wananchi namna alivyopitia wakati mgumu katika kufanya maamuzi kwa maslahi ya taifa katika kipindi cha miaka yake mitano ya urais.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS