Lissu afika Nzega, atoa ahadi hizi
Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Tundu Lissu, amesema kama atapata ridhaa ya kuiongoza nchi atahakikisha anajenga nchi yenye uhuru ili wananchi waendeshe maisha yao bila kubugudhiwa.