Joachim Low aitaka nusu fainali Euro 2020 Joachim Low amekiongoza kikosi cha Ujerumani katika michezo 186 tangu mwaka 2006 Kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani Joachim Low amesema kikosi chake lazima kifike hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya Euro mwakani. Read more about Joachim Low aitaka nusu fainali Euro 2020