Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara(Kushoto) na aliyekua Mkuu wa Idara kama hiyo katika Klabu ya Yanga, Jerry Muro enzi wakitaniana .
Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF, Wallace Karia ameunda kamati ya ushindi ya timu ya Taifa (Taifa Stars).