Yanga yaweka rekodi ya kipekee ligi kuu ya NBC

Yanga wakishangilia ubingwa wa NBC PL 2024/25

Klabu ya Yanga wamefanikiwa kuibuka mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara kwa msimu uliomalizika 2024/25 ikiwa ni mara ya nne mfululizo na mara ya 31 ikiwa ni mara nyingi zaidi katika Ligi kuu ya Nchini Tanzania wakifuatiwa na Klabu ya Simba walioshinda mara 22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS