Man City wajiondoa kwa Florian Wirtz

Florian Wirtz - Nyota wa Bayer Leverkusen

Man City wamejiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili nyota wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz anayetajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 126 na kuziacha Liverpool na Bayern Munich zikipigania kumnasa nyota wa Ujerumani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS