"Tutatoa tamko kuhusu ugonjwa wa Dengue" - Ummy

Serikali imeeleza kuwa inatarajia kuja na utaratibu mpya wa kutibu ugonjwa wa Dengue ambao umezuka katika baadhi ya mikoa nchini ikiwemo Dar es Salaam na kupelekea vifo kwa baadhi ya watu na wengine kuugua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS