Mahakama yaamuru Wema Sepetu akamatwe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeagiza kukamatwa kwa Mrembo wa Tanzania, mwaka 2006 Wema Sepetu kufuatia mrembo huyo kukiuka masharti ya dhamana kwenye kesi ya kusambaza picha za ngono.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS