Waziri Mkuu atatua sintofahamu bei ya pamba

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ana imani kuwa ununuzi wa zao la pamba utaanza mara moja kwa bei ya sh. 1,200 kwa kilo moja katika mikoa yote inayozalisha zao hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS