Serikali yatoa tamko kwa watu wenye vitambi
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema uwepo wa vitambi ni mojawapo ya dalili za mtu ananyemelewa na magonjwa yasiyokuw aya kuambukiza na kuwataka watu wenye vitambi kuzingatia suala la mlo bora.