Amber Lulu atoa tahadhari kwa producer

Amber Lulu

Baada ya Zest kusema kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii na wa muziki wa Bongo fleva Amber Lulu, Msanii huyo amesema anashangaa sana kumuona Zest akizungumza maneno kama hayo wakati yeye anamchukulia kama kaka yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS