Waziri Mkuu aijia juu mikoa isiyowezesha wananchi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa mwaka mmoja kwa viongozi wa mikoa ya Dar es salaam, Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya, Rukwa, Singida na Shinyanga ihakikishe iwe imekamilisha kuandaa Mwongozo wa Uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS