Wakulima walalamikia bei ya muhogo Wakulima wa zao la muhogo kutoka Wilaya za Kakonko, Kibondo na Kasulu mkoani Kigoma, wameiomba Serikali iwasaidie namna ya kupata soko la zao la muhogo kwa kile walichokieleza kwa sasa wanauza zao hilo kwa hasara. Read more about Wakulima walalamikia bei ya muhogo