Serikali yavionya vituo vya kulea watoto yatima

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kali kwa baadhi ya wamiliki na waendeshaji wa vituo vya kulea watoto wasiofuata taratibu za usajili, wanaowatumia watoto kama mitaji au kwa maslahi binafsi na wanaoendesha shughuli hiyo kwa minajili ya kidini na kikabila.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS