Rais apiga marufuku picha zake kuwekwa ofisini Rais wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelensky. Rais mpya wa Ukraine, Volodymyr Oleksandrovych Zelensky amepiga marufuku picha yake kuwekwa kwenye ofisi za umma kwa kile alichodai kuwa Urais sio umaarufu. Read more about Rais apiga marufuku picha zake kuwekwa ofisini