Mtanzania akamatwa na laini za simu 629

Naibu Waziri wa Mawasiliano Atashasta Nditiye

Naibu Waziri wa Mawasiliano Atashasta Nditiye, amebainisha kuwa Wizara anayoiongoza inamshikilia mtu mmoja (jina halijatajwa), ambaye anatuhumiwa kumiliki laini za simu zinazokaribia 600.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS