Changamoto za Ajibu ndani ya TP Mazembe Ibrahim Ajibu Klabu ya soka ya TP Mazembe ya DR Congo, iko mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu. Read more about Changamoto za Ajibu ndani ya TP Mazembe