Waziri wa kiume atinga sketi Waziri Mkuu wa Fiji, Frank Bainimarama akiwa na Rais wa Kenya Uhuru kenyatta. Waziri Mkuu wa Fiji, Frank Bainimarama, amemtembelea Rais wa Kenya Uhuru kenyatta alipohudhuria mkutano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la makazi mjini Nairobi. Read more about Waziri wa kiume atinga sketi