Alikiba, Samatta watambiana kuelekea mechi yao

Samatta na Alikiba

Nahoda wa Taifa Stars na mchezaji wa klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta na mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba wametambiana hadharani kuelekea mchezo wao ulio katika kampeni ijulikanayo kama 'NIFUATE'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS