Licha ya ulinzi mkali, mahabusu 17 watoroka

Askari wa Jeshi la Polisi

Jumla ya watuhumiwa 17 wa makosa mbalimbali waliokuwa wamehifadhiwa kwenye ukumbi wa jengo jipya la Mahakama ya Mkoa wa Geita kusubiri mashauri yao kutajwa mahakamani, wametoroka katika mazingira ya kutatanisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS