Mbunge azungumzia presha ya Mnyika na Sugu 2020

Mnyika akiwa Sugu.

Mbunge wa Serengeti (CCM) Rioba Chacha amesema kuwa kama ikitokea mtu yeyote anapingana na maono ya Baba wa taifa Mw. Julius Nyerere, basi atakuwa amelaaniwa hivyo kinachoendelea kwa kambi ya upinzani ni presha ya kukosa nafasi uchaguzi ujao wa 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS