Gongo yaua mwalimu wa sekondari Ruvuma Pombe aina ya gongo Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Matemanga wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, Hekima Gregory maarufu Mvomela(49), amefariki baada ya kunywa pombe ya kienyeji aina ya gongo pasipo kupata chakula. Read more about Gongo yaua mwalimu wa sekondari Ruvuma