Msanii akiri kufanyiwa maajabu na Pierre Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Beka Flavour amesema watu ambao walikuwa hawamuelewi Pierre Liquid kuwa anakipaji gani, sasa wanafahamu kuwa Pierre ni msanii wa muziki pia ni mchekeshaji wa maigizo. Read more about Msanii akiri kufanyiwa maajabu na Pierre