Babu wa Loliondo aja na utabiri mpya 

Babu wa Loliondo.

Takribani miaka 9 tangu  kupungua kwa idadi ya watu waliokuwa wakifika katika kijiji cha Samunge, tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha kupata kikombe cha Babu, mchungaji aliyekuwa akitoa huduma hiyo Ambilikile Mwaisapile ameibuka tena na kutoa utabiri mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS