Sugu atangaza kustaafu, aacha swali hili Mbunge wa Mbeya Mjini 'Sugu'. Mbunge wa Mbeya mjini (CHADEMA) ambaye pia ni msanii mkongwe wa 'HipHop' nchini Joseph Mbilinyi almaarufu 'Sugu' ametangaza kuacha muziki muda mfupi ujao. Read more about Sugu atangaza kustaafu, aacha swali hili