Zitto ambana Waziri kuhusu 'usumbufu wa uraia'

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameitaka Serikali kuhakikisha inatoa kwa haraka vitambulisho vya taifa ili kuondokana na usumbufu wanaopata wananchi wanaoishi maeneo ya mpakani ambao wamekuwa wakisumbuliwa kuhusiana na suala la uraia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS