Waziri ajibu kuhusu matukio ya utesaji wapinzani
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Agustino Mahiga, amesema matukio ya utesaji ya wapinzani na uvunjifu wa amani pamoja na madai ya wapinzani ni miongoni mwa mambo yanayoulizwa na Jumuiya za Kimataifa na serikali inaendelea kuyafuatilia.