Faiza atangaza kuokoka, ataja chanzo Faiza Ally. Mwigizaji wa Bongo Movie, Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu 'Sugu', amefunguka kuwa ameamua kuacha kila kitu na kufanya yale ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Read more about Faiza atangaza kuokoka, ataja chanzo