Rekodi za Samatta zilizoipa ubingwa Genk Genk, mabingwa wa Ligi ya Ubelgiji 2018/19 Sasa hivi ni furaha kubwa kwa mashabiki wa klabu ya KRC Genk, baada ya usiku wa jana kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu nchini Ubelgiji maarufu kama 'Jupiter Pro League' msimu 2018/19. Read more about Rekodi za Samatta zilizoipa ubingwa Genk