Wema ashindwa kufika mahakamani kisa ugonjwa
Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu, ameshindwa kufika mahakamani kwa ajili ya kuhudhuria kesi inayomkabili ya kusambaza picha za ngono kupitia mitandao ya kijamii ambapo wakili wake ameeleza kuwa mshtakiwa huyo ni mgonjwa.