Haji Manara ageuka kuwa mlinzi wa Simba
Mkuu wa kitengo cha habari wa klabu ya Simba, Haji Manara alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliosafiri na timu kwenda eSwatini lakini hakutazama dakika 45 za kwanza kutokana na kuwa mlinzi wa chumba cha kubadilishia nguo.