Haji Manara ageuka kuwa mlinzi wa Simba

Haji Manara akiwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha Simba kwenye uwanja wa Mavuso huko Manzini eSwatini.

Mkuu wa kitengo cha habari wa klabu ya Simba, Haji Manara alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliosafiri na timu kwenda eSwatini lakini hakutazama dakika 45 za kwanza kutokana na kuwa mlinzi wa chumba cha kubadilishia nguo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS