Nikki wa Pili ataja michongo, maktaba mpya ya UDSM
Msanii wa muziki wa HipHop nchini anayewakilisha kundi la Weusi, Nikki wa Pili amezitaja fursa ambazo zinaweza kutumiwa na watanzania katika maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) ili kuweza kujiongezea maarifa.