Alliance FC yatambulisha kocha mpya Viongozi wa Alliance wakimtambulisha kocha mkuu, Malale Hamsini Klabu ya Alliance ya mkoani Mwanza imemtambulisha kocha mpya pamoja na wasidizi wake, ikiwa ni wiki kadhaa baada ya aliyekuwa kocha wake mkuu, Papii Kailanga kuachana na klabu hiyo. Read more about Alliance FC yatambulisha kocha mpya