Mwinyi Zahera aeleza anachokihofia

Mwinyi Zahera wa kwanza kulia akiwa na benchi lake la ufundi

Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Mwinyi Zahera amesema hofu yake kuu kuelekea mchezo wa leo dhidi ya JKT Tanzania ni stamina ya wapinzani wao, akiamini kuwa wana mazoezi ya kutosha kiasi cha kuweza kuwapa wakati mgumu kwenye mchezo huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS