Mua yaua watu 3 Morogoro
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Mkama katika taarifa aliyoitoa jana Desemba 30, 2025 amewataja waliofariki kuwa ni Lukman Chimbilo, aliyekuwa bodaboda, Onea Onesmo na Gervas Gerald, mwanafunzi aliyemaliza elimu ya darasa la saba mwaka 2025.

