Fahima (19) mbaroni kwa tuhuma za kutupa kichanga.

Tukio hilo linadaiwa kutokea tarehe 25 Desemba 2025 majira ya saa 11:00 alfajiri katika Mtaa wa Balyehela, ambapo mtuhumiwa anadaiwa kutupa kichanga hicho muda mfupi baada ya kujifungua juu ya paa la nyumba inayomilikiwa na Emmanuel Magina Murul, fundi wa kuchomelea vyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS