Taarifa ya polisi kuhusu Janjaro kupiga mtu risasi Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi kuhusiana na tukio la mtu mmoja aitwaye Bakari Halifa Daud (18) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kujeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni. Read more about Taarifa ya polisi kuhusu Janjaro kupiga mtu risasi