"Siagizwi na kila mtu" - Dkt Kigwangalla

Dkt. Kigwangalla

Naibu Waziri wa Afya, Hamisi Kigwangalla amefunguka na kusema haagizwi na kila mtu kwa kuwa ni kiongozi bali wenye mamlaka ya kufanya hivyo ni wananchi wake wa Nzega vijijini pamoja na maagizo anayoyapata kutoka Rais  wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS