Nitahakikisha Sikamatwi - Zitto Kabwe

Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini Mh. Zitto Zuberi Kabwe

Mbunge wa jimbo la Kigoma Mjini Mh. Zitto Zuberi Kabwe, amesema pamoja na kuwa ni mwanasiasa na upinzani na miongoni mwa watu wanaokosoa serikali, atahakikisha anafanya hivyo pasipo kukamatwa na jeshi la polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS